Bodi ya usajili wa wathamini

Mkutano mkuu wa tatu wa wathamini unaanza leo katika kumbi za Lush garden Hotel na mgeni rasmi akiwa ni mhe.Dkt Angeline Mabula Waziri wa Ardhi,nyumba na maendeleo ya makazi.

Uongozi wa Lush garden hotel unapenda kuwakaribisha.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *